NJAA ZITAWAUA DADA ZETU ONA MSANII HUYU ANAVYOLAZIMISHA PENZI KWA KIBABU CHA KIZUNGU AIBU KUBWA.

Msanii asiyekuwa na jina kubwa nchini YUSTER NYAKACHAKA ameitia aibu familia yake pamoja na watanzania kwa ujumla kufuatia kufumwa akilazimisha penzi kwa babu wa kizungu mbae ni sawa na babu yake wa kuwazaa wazazi wake.
Xdeejayz ambayo imenasa picha hiyo ambayo ilirushwa na msanii huyo akiwa na babu huyo anaekadiliwa kuwa na umri wa miaka 62 na walionekana kupiga siku ya wapendano.
Hata hivyo kwa mujibu wa watu wanamfahamu msanii huyo walisema kuwa amekuwa akimrubuni babu huyo wa kizingu anaefanyakazi kwa mkataba kwenye kampuni moja iliyopo Maskani Jijini Dar huku akijaribu kumpagawisha kwa kutoa penzi kinyume na maumbile japo mzungu huyo achanganyikiwe na kuisahau familia yake lakini wapi.
Aidha tabia ya dada zetu kutembea na vibabu vya kizungu imeendelea kushamili kila kukicha na hivi karibuni msanii Shilole ambae aliopoa mzungu mtaani na kumtangaza kama mchumbaake kumbe baadae taarifa zikavuja kumbe mzungu huyo ni bwabwa anahemewa kisongoni hali ilimp
0 comments: